KAMA ELMU NI UFUNGUO UMEFUNGUA MLANGO UPI? - MULTISKILLS CONSULTANCY

Latest

business & management consultancy

Friday, June 2, 2017

KAMA ELMU NI UFUNGUO UMEFUNGUA MLANGO UPI?

Tumeona kuwa elimu ni ufunguo wa maisha kwani inaanza kukufungulia mlanago wa kukutana na watoto amabao sio Ndugu wala hakuna uko Nao na hatimaye kukutanisha na way mbali mbali kwenye upeo tofauti tofauti hadi kukutanisha na wataalamu watakaokupa utaalamu wa kukufanya uwe na ujuzi au utaalamu ambayo ndiyo hasa ufunguo wa kuweza kukufungulia Nyumba maisha.He Nyumba inayoitwa maisha ni IPI?Nyumba maisha ni mahali popote utakapokuwa ,ni mazingira yeyote utakayokuwa,uwe kazini uwe nyumbani au mahali popote hakikisha unatumia elimu yako kupambanua mazingira,hakikisha unatafuta changamoto zilizoko kwenye mazingira uliyoko na kwa kutambua changamoto tumia elimu au ujuzi uliyonao kugeuza changamoto kuwa fursa na chanzo cha kipato.Kwa kufanya hivyo utakuwa umefungua Nyumba inayoitwa maisha.Ukitaka kuonana ufunguo wako haufanyi Kazi anza kulalamikia mazingira uliyoko au anza kulaumu watu wanaokuzunguka au kulaumu viongozi au serikali! Hakikisha unafanya mambo kwa mtazamo chanya na sio hasi wala lawama.Ukiona unaanza kulaumu mazingira na watu au serikali Juma karibu utapoteza mwelekeo na ufunguo wako(elimu).Kama unaona elimu uliyonayo haendani na mazingira uliyoko na fursa unaziona basi tafuta elimu inayofuatana na mazingira uliyopo! Mfano kuna MTU mmoja alisomea mambo yabkuunga vyuma lakini akawa kijijini na mule hakuna vyuma wala karakana akakwa hajui pa kuanzia wala pa kutumia ujuzi alionao! Mwisho akaamu a kuchimba bwawa na kuvuna Maji ya mvua kwa msimu na pole pole aliyahifadhi hayo Maji na kuanzia kuyatumia wskati wakiangazi kuotesha mboga na niche michache ya migomba.Wskati wakiangazinkumekauka kabisa alianza kuwauzia watu mboga na kufunga wlndege na akaanza kutengenza kipato na mwisho alibadili fikra na mtazamo wa watu juu yake. Katika mazingira hayo alianza kujifunza Kilimo cha mboga mboga na kuweza kuwa utaalamu wa mboga na matunda na hatimaye akawa mshauri mkubwa wa lishe na Kilimo mboga mboga.Acha kulalamika kuwa mbunifu,!!

No comments:

Post a Comment