Kama yulivyoona kuwa
elimu ni ufunguo wa maisha na unaweza kuwa una elimu lakini huoni mlango
wa kufungulia.Sababu kubwa ni kwamba pengine ulichukua ufunguo ambayo
hujui kutumia au mpaka uone MLANGO wa kufungulia kunahitaji tufanye Kazi
ya ziada! Kuna watu wamesoma elimu wasioipenda au wasiojua wapi pa
kutumia ,wamesoma tu kwa msukumo wa wazazi au marafiki lakini pengine
hawapendi au walijikuta tu wamepangiwa kusoma na serikali! Ukitaka
ufunguo wako ufungue kila MLANGO basi Fanya au soma kitu kinachotoka
moyoni kwako na sio vinginevyo.Kwa kufanya hivyo utakuwa umefungulia
elimu yako MLANGO uliosahihi!Ukitaka kufanikiwa katika maisha Fanya
mambo yafuatayo: Kwanza hakikisha una Imani sahihi juu ya Mungu unaye
kwanini,pili hakikisha unakaa Katibu na watu waliofanikiwa kwa kutumia
elimu yao inayofanana na yako,tatu wadadasi mbinu au kanuni walizofuata
kufanikuwa,tatu hakikisha hujidharau mwenyewe,nne usikubali mazingira
yakutawale,tano hakikisha neno sitaweza haliko akilini kwako,sita kaa
mbali na walioshindwa na wakatisha tamaa,saba sikiliza nafasi yako
katika kutenda Yale unayofikiri, Nane usiache kujifunza kwa tusafiri au
kusoma Vitabu,Tisa jifunze kutoka baada ya kufanikiwa,kumi mafanikio
yasikutenge na watu wala Mungu. Hayo ni baadhi tu ya mambo ambayo
yanweza kukufanya ufunguo wako wa maisha tufanye Kazi vizuri! Kwa
kufuata hizo kanuni ufunguo wako wa maisha utafungua kila MLANGO wa
mafanikio.Pia jifunze kutokuwa mbinafsi.Nakutakia mafanikio mema na uwe
na wskati mwema wa kujifunza
Friday, June 2, 2017
New
UFUNGUO WA MAISHA UMEFUNGULIA MLANGO UPI?
About MULTISKILSS CONSULTANCY COMPANY LIMITED
Templatesyard is a blogger resources site is a provider of high quality blogger template with premium looking layout and robust design. The main mission of templatesyard is to provide the best quality blogger templates.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment